Naangali conv zao, kama wamekata tamaa.. shida hawaanzi jiangalia matatizo waliyo nayo.. wanaanza tafuta makosa ya Me, kwa kuficha udhaifu na makosa yao
Nakwambia leo DepalLenieTinsley na Antonnia kuanzia sa 12 asubuhi wanatushambulia na kufarijiana kuwa wao ni majeuri na kwamba hatuwababaishi. Mbaya zaidi wanawasifia matolu dark and handsome kwahyo wanaume weupe wamewakosea nini 🥺
Moyo Wangu ulivo wa kuridhika hata na kidogo sasa utashangaa naroho yako!!!! Afu mahusiano ya kujengwa kwa msingi wa pesa hayanogi kabisa inaonekana mtu amekupendea pesa na si true love!! Mungu atusaidie sana wanawake!!
Nakwambia leo DepalLenieTinsley na Antonnia kuanzia sa 12 asubuhi wanatushambulia na kufarijiana kuwa wao ni majeuri na kwamba hatuwababaishi. Mbaya zaidi wanawasifia matolu dark and handsome kwahyo wanaume weupe wamewakosea nini 🥺
Hao kila mmoja wao ana uchungu na mauvimu yao, wanajazana hapa upepo, ila deep down mioyo yao imejeruhiwa na wakurungwaa 🤣🤣🤣 wanapeana matumaini .. si unajua ma loser wakikutana huwa lazima wajazane upepo ili baada ya hapo wakikaa wanaona uharisia maumivu yanaendelea kama kawa