Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitaku bless nini shangazi yangu, moyo wangu umeinama kila nikuwazapo namna ambavyo hunitaki
Kwanza urafiki wetu utakufaaaaaaaa pili sitakua nakutania kamaninavokutaniaaaaaa tatu nitakosa uhuru wa kujiachia humuuuu hahahaaa..... Huko nishatoka Kitambo mie hizo nimewaachia kina Saint Anne nibles pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Kwanza urafiki wetu utakufaaaaaaaa pili sitakua nakutania kamaninavokutaniaaaaaa tatu nitakosa uhuru wa kujiachia humuuuu hahahaaa..... Huko nishatoka Kitambo mie hizo nimewaachia kina Saint Anne nibles pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ alafu mkiwa kapo ndio nzuri kuwa mnataniana
.. mie nitaposha jf ili uww huru kabisaaa
 
Anawapaga nini jamaa, na mie ni copy na kupestee, naweza bahatisha ๐Ÿ™‚๐Ÿ™‚
Mi sijui hata mjomba uliza wanaomshobokeaaa labda ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!! Hebu tuendelee zetu kuselfika sie mambo yake tumuachie mwenyewe ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜
 
Mi sijui hata mjomba uliza wanaomshobokeaaa labda ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ!! Hebu tuendelee zetu kuselfika sie mambo yake tumuachie mwenyewe ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ila ukweli nimekufa kabisa na kuoza kwako, yani dah! Nakupenda ile mbayaa yaani.. alafu umenikazia hatari.. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ebu nichokoze na ka selfi nilale tuu
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ila ukweli nimekufa kabisa na kuoza kwako, yani dah! Nakupenda ile mbayaa yaani.. alafu umenikazia hatari.. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ebu nichokoze na ka selfi nilale tuu
Mie mtu mzima sitongizwi hivi mjombaa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚!!Sina hata jipya mjombaa Wangu labda nikutafutie ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ