Selfika na JF: Snap it. Show it

National Anthem mwanangu nilipie Itune
Audiomack wanaboa πŸ˜‚ au nilipie audiomack basi..
maana kitonga baadhi ya nyimbo hazidownlodiki πŸ˜‚
Audiomak sijaipenda goja nijaribu spotfy, nimeachana na iship napata taaabu kweli kule ndio kulikuwa na songs zanguu zote pendwa dah .. unataka $ ngapi nianze panda mbengu hata siku mkiachana unifikirie kwanza mie
 
Uzee ndo mzuri babu GπŸ‘ŒπŸ‘Œ

Nisubiri hapo hapo nakuja niko mjimwema hapa.usiondoke.

Kumbukumbu inaniambia unadeni langu🫰🏿
Hahahaha.........ukikuta Mzee mrefu, amevaa Miwani ya macho anatembelea fimbo ndiyo Mimi.


Nitakuwa nimepoteza kumbukumbu kuhusu hilo deni lako, fanya kunikumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…