Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,021 Saint Anne said: Yaani katika vitu siwezi basi ni kutopokea simu ya bebii Navyoisubirigi kwa hamu π π Ila ndio nikipokea nakuwa nimekasiriiiika..nimefura hasiraaa naye kuna sauti akiisikiaga tu anajua huyu mtoto amekasirika. Hapo likijiongeza tu kidogo basi. Click to expand... hapana chezea simu ya bebe ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited . hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani ππ .
Saint Anne said: Yaani katika vitu siwezi basi ni kutopokea simu ya bebii Navyoisubirigi kwa hamu π π Ila ndio nikipokea nakuwa nimekasiriiiika..nimefura hasiraaa naye kuna sauti akiisikiaga tu anajua huyu mtoto amekasirika. Hapo likijiongeza tu kidogo basi. Click to expand... hapana chezea simu ya bebe ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited . hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani ππ .
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,022 CAPTORHINOMORPHS said: Hahahaha jizuie tu Click to expand... irresistible strong urge that you can't control .
CAPTORHINOMORPHS said: Hahahaha jizuie tu Click to expand... irresistible strong urge that you can't control .
The Monk Platinum Member Joined Oct 12, 2012 Posts 20,318 Reaction score 46,060 Oct 26, 2022 #280,023 sophy27 said: Mtukaribishe Click to expand... Karibu
CAPTORHINOMORPHS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2019 Posts 3,066 Reaction score 7,650 Oct 26, 2022 #280,024 Tinsley said: irresistible strong urge that you can't control . Click to expand... Yes you can,, sema itakupa shida mara ya kwanza
Tinsley said: irresistible strong urge that you can't control . Click to expand... Yes you can,, sema itakupa shida mara ya kwanza
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Oct 26, 2022 #280,025 Tinsley said: hapana chezea simu ya bebe ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited . hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani ππ . Click to expand... Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka π€£ π€£ π€£ Najibu kwa kifupiii Naye anaongeza maswali yule boya.
Tinsley said: hapana chezea simu ya bebe ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited . hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani ππ . Click to expand... Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka π€£ π€£ π€£ Najibu kwa kifupiii Naye anaongeza maswali yule boya.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,026 CAPTORHINOMORPHS said: Yes you can,, sema itakupa shida mara ya kwanza Click to expand... okay Acha tu muda huo nifaidi maana muda mwingine naskip meals sana .
CAPTORHINOMORPHS said: Yes you can,, sema itakupa shida mara ya kwanza Click to expand... okay Acha tu muda huo nifaidi maana muda mwingine naskip meals sana .
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Oct 26, 2022 #280,027 The Monk said: Karibu View attachment 2398743 Click to expand... ππasante
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,028 Saint Anne said: Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka π€£ π€£ π€£ Najibu kwa kifupiii Naye anaongeza maswali yule boya. Click to expand... Hahaah anakujua vyema Baba pasta na anakupenda mingi mingi . mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo
Saint Anne said: Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka π€£ π€£ π€£ Najibu kwa kifupiii Naye anaongeza maswali yule boya. Click to expand... Hahaah anakujua vyema Baba pasta na anakupenda mingi mingi . mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Oct 26, 2022 #280,029 Saint Anne said: Wachaaaaa Kumbe ndio hiii aiseee Naipendaga mno. Click to expand... Nzuri hatari π
Saint Anne said: Wachaaaaa Kumbe ndio hiii aiseee Naipendaga mno. Click to expand... Nzuri hatari π
CAPTORHINOMORPHS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2019 Posts 3,066 Reaction score 7,650 Oct 26, 2022 #280,030 Tinsley said: okay Acha tu muda huo nifaidi maana muda mwingine naskip meals sana . Click to expand... BMI iko kwa red?
Tinsley said: okay Acha tu muda huo nifaidi maana muda mwingine naskip meals sana . Click to expand... BMI iko kwa red?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Oct 26, 2022 #280,031 Tinsley said: Hahaah anakujua vyema Baba pasta na anakupenda mingi mingi . mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo Click to expand... Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu. Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni. Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu. Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
Tinsley said: Hahaah anakujua vyema Baba pasta na anakupenda mingi mingi . mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo Click to expand... Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu. Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni. Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu. Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Oct 26, 2022 #280,032 sophy27 said: Nzuri hatari π Click to expand... Nilikuwa nawaona nayo tu watu Kuna namna wanachanganyiaje sijui..asee inapendeza. Nikawa ajiuliza sijui ni lipstick ipi.
sophy27 said: Nzuri hatari π Click to expand... Nilikuwa nawaona nayo tu watu Kuna namna wanachanganyiaje sijui..asee inapendeza. Nikawa ajiuliza sijui ni lipstick ipi.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,033 CAPTORHINOMORPHS said: BMI iko kwa red? Click to expand... haiwezi kuwa red Nina vinyama
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,034 Saint Anne said: Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu. Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni. Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu. Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga. Click to expand... hahaah huyo humuonei aibu eeh unashusha tu vitu .. bora anafanya hivyo maana ukiwa na hasira hamuwezi kuzungumza vyema
Saint Anne said: Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu. Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni. Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu. Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga. Click to expand... hahaah huyo humuonei aibu eeh unashusha tu vitu .. bora anafanya hivyo maana ukiwa na hasira hamuwezi kuzungumza vyema
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,035 Doon said: Hello Wakuu.. Nimewamiss π Mmoja wenu bhasi anipe msaada wa kusema amenimiss pia nifeel good mwenzenu.. π€ Click to expand... Missed you Doon naomba uselfike piaa
Doon said: Hello Wakuu.. Nimewamiss π Mmoja wenu bhasi anipe msaada wa kusema amenimiss pia nifeel good mwenzenu.. π€ Click to expand... Missed you Doon naomba uselfike piaa
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,527 Oct 26, 2022 #280,036 Saint Anne said: Nilikuwa nawaona nayo tu watu Kuna namna wanachanganyiaje sijui..asee inapendeza. Nikawa ajiuliza sijui ni lipstick ipi. Click to expand... Wanachanganya na wanja
Saint Anne said: Nilikuwa nawaona nayo tu watu Kuna namna wanachanganyiaje sijui..asee inapendeza. Nikawa ajiuliza sijui ni lipstick ipi. Click to expand... Wanachanganya na wanja
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Oct 26, 2022 #280,037 sophy27 said: Kuna kufumaniwa na ukifumaniwa ni kipigoπππunapigwa kama ngoma Click to expand... hahahaha
sophy27 said: Kuna kufumaniwa na ukifumaniwa ni kipigoπππunapigwa kama ngoma Click to expand... hahahaha
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Oct 26, 2022 #280,038 sophy27 said: Wanachanganya na wanja Click to expand... Hii ndio lipstick nzuuri kuliko zote
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 Oct 26, 2022 #280,039 Iko wapi, Iko wapi Iko wapi?? Saint Anne said: Hii ndio lipstick nzuuri kuliko zote Click to expand...
Iko wapi, Iko wapi Iko wapi?? Saint Anne said: Hii ndio lipstick nzuuri kuliko zote Click to expand...
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 26, 2022 #280,040 Doon said: I am really thankful Tinsley π€ Just humble as always, I feel so proud to have you here.. Be forever blessed Click to expand... Thank you, I am happy to hear you feel that way! be blessed too
Doon said: I am really thankful Tinsley π€ Just humble as always, I feel so proud to have you here.. Be forever blessed Click to expand... Thank you, I am happy to hear you feel that way! be blessed too