Selfika na JF: Snap it. Show it

hapana chezea simu ya bebe
ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited .

hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani πŸ˜‚πŸ˜‚ .
 
hapana chezea simu ya bebe
ikiita unajisikia hali fulani hivi ..unakuwa super excited .

hahaha kumbe kuna hadi sauti ya kununa ngoja nichukue notes , nije kumfanyia mtu fulani πŸ˜‚πŸ˜‚ .
Yaani akiona tu naongea haraka kama mhubiri anayetaka amalize haraka 🀣 🀣 🀣
Najibu kwa kifupiii
Naye anaongeza maswali yule boya.
 
Hahaah anakujua vyema Baba pasta
na anakupenda mingi mingi .

mie nikiwa na hasira siongei aisee labda iwe siku mbaya ndo nitajibu huyo
Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu.
Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni.

Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu.
Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
 
Mimi jeuri yangu yoote siwezi kutopokea simu.
Ila nikipokea sasa naongea utadhani ugali umenikaba shingoni.

Kuna muda akikasirika anakata simu ananiacha nipambane na hali yangu.
Hasira zikimshuka muda kidogo tu huyoo anapiga.
hahaah huyo humuonei aibu eeh
unashusha tu vitu ..

bora anafanya hivyo maana ukiwa na hasira hamuwezi kuzungumza vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…