Selfika na JF: Snap it. Show it

Ameeen
 
Anaturudisha nyuma
Pole Ila Mungu ni muweza wa yote .
Nakupa fungu hili toka waefeso na kitabu cha Isaya

Waefeso 3:20 SRUVDC​

Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu

Isaya 60:11 BHN​

Malango yako yatakuwa wazi daima; usiku na mchana hayatafungwa, ili watu wakuletee utajiri wa mataifa, pamoja na wafalme wao katika maandamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…