Hahahaha................najua basi, nadhani Yule Kaka yako Kwa Mjomba ako alishika hii simu alikuwa ananirekebishia Kalenda itakuwa alitype hayo maandishi 🤪🏃🏃🏃
Niliosimama full ile mchana siioni ila full yake iko hivo chini ni mshazari ulioachia sana wenye mpasuo mrefu paja la kushoto!!
Hio swagger hapo kiunoni ni mbele tu nyuma pako plain kawaida Lenie