Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama Junia wake Pep guardiola kumbe upoo?
Naweka sana hapa sipati feedback mama mchungaji hata asubuhi ya leo nimepandisha airtel naona kama zinapotea tuu maana naweza kuandika namba vibaya nisijue huku naitupa vocha
Akina Nkamu hao wanachukua kimyakimya bila kushukuru

Ila kuna moja mwezi uliopita ilikosewa.
Japo sikuleta feedback.
 
Mama Junia wake Pep guardiola kumbe upoo?
Naweka sana hapa sipati feedback mama mchungaji hata asubuhi ya leo nimepandisha airtel naona kama zinapotea tuu maana naweza kuandika namba vibaya nisijue huku naitupa vocha
Bora umesema watu wanshindwa kusema Asante jamni tunaonekana sisi na kina@Saint Anne kilasiku vibaya hivo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…