Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Kikufanyacho uamini hivyo ni nini?Nyie wote watoto.
Kikufanyacho uamini hivyo ni nini?Nyie wote watoto.
Maajabu, kipofu leo ana macho
Leo nimeiwahi picha yako ila ile nataka kuiquote tu ukaidete,, aisee hongera sanaaaaa..






Sure, hadi kufikia kufanya kazi katika migahawa na mahotel makubwa ya huku ni kwamba life liko so expensive. Hii picha ya chini nilipiga katika ufukwe mmoja unaitwa unaitwa escape beach club
View attachment 1258831
Jamaniiii ukaamua kuchunguza kama usalama wa taifa
Melala mimi, sijanywa hata Mirinda nyeusi. Mesema hayo bila kushawishiwa na yoyote na nikiwa na akili zangu timamu kabisaa jamani auntie...Auntie unakunywa nini?



Khaaaaah!!Waya bado mfupi, ngoja ukirefuka refuka u will be konektedi
upo mji gani?
😆😆😆Sawa sawaBado namtafakari hapa...
Umri.Kikufanyacho uamini hivyo ni nini?
Doh! Watu kwa kuzooom....
Jamaniiii ukaamua kuchunguza kama usalama wa taifa
Sure, hadi kufikia kufanya kazi katika migahawa na mahotel makubwa ya huku ni kwamba life liko so expensive. Hii picha ya chini nilipiga katika ufukwe mmoja unaitwa unaitwa escape beach club
View attachment 1258831
MsupuuuMelala mimi, sijanywa hata Mirinda nyeusi. Mesema hayo bila kushawishiwa na yoyote na nikiwa na akili zangu timamu kabisaa jamani auntie...
Wewe ni msupuu![]()

umenikumbusha mkenya mmoja hivi jamani






jamani eti mama shabani,, ila seriously macho yangu yalivyotua pale kwa meza sura ya kwanza iliyonijia kichwani ni ya Zamaradi..
Sasa mbona wamfananisha "ingizo jipya" na mama shabani...cheusi mangala bado sana kufikia level za udongo wa makka aisee
Hebu taja umri wetu?Umri.
Summer dress code
...nothin personal eenh
Jamaaaniii
Mungu hapendi my![]()
Msupuuuumenikumbusha mkenya mmoja hivi jamani
![]()












hapo CIA kuna habari gani mkuu?
