Sipendi hayo mambo aiseeUnaogopa a little competition [emoji16][emoji16]
Nyie tafuteni nao tu .๐๐๐Sasa kama ni hivo maana yake tusitafute pesa na wanaume zetu ama ๐๐๐
Future hubby aje ๐ฅฐYaani Mimi ๐๐๐future husband anipange kabisa mama tutapambane tupate pesa ama nipambane na umalayawake ๐๐๐nijue naenda na kipi
๐๐๐anipange aisee nisije nikapambana na mambomengi nikafa mapema ๐๐Future hubby aje ๐ฅฐ
Mpange mapema mambo
Nina swaliii๐Yaani Mimi ๐๐๐future husband anipange kabisa mama tutapambane tupate pesa ama nipambane na umalayawake ๐๐๐nijue naenda na kipi
Hudhani kuvumilia hyo tabia yake ni chanzo cha yeye kufanya zaidi kwa excuse kwamba wife hana noma as long nimeacha kibunda ndani[emoji16]Navumilia kukosa Hela na kma ni umalaya nivumilie umalaya pekee sio vyote maisha yenyew mafupi haya
Swali zuri hekaheka za.mwanaume Malaya huzijui ndugu presha ndogo ndogo na kuzimia mara Kwa mara ๐๐Nina swaliii๐
Utapambanaje na umalaya wake ndugu mjumbe???
Ukiwa na kitu cha tofauti it won't be a competition,,Sipendi hayo mambo aisee
Ahaa nilikua Sijaelewa vizuri sasa nimekupata mjumbe!Swali zuri hekaheka za.mwanaume Malaya huzijui ndugu presha ndogo ndogo na kuzimia mara Kwa mara ๐๐
Mara umemfumania mara hajalala nyumbani mara kahamia Kwa ashura Kwa tabata๐๐hizo kazi dada sio ndogo ๐๐
Kuna kuchepuka alafu Kuna umalaya kuchepuka hakuna mwanaume hachepuki na wengi wanaheshimu familia zao alafu Kuna umalaya ndo nachoongelea mwanaume MalayaHudhani kuvumilia hyo tabia yake ni chanzo cha yeye kufanya zaidi kwa excuse kwamba wife hana noma as long nimeacha kibunda ndani[emoji16]
Hapo hadi jamaa akupende otherwise unapangwa zako fresh. .Ukiwa na kitu cha tofauti it won't be a competition,,
Kama kitu gani ndugu mjumbe???๐ค๐คUkiwa na kitu cha tofauti it won't be a competition,,
Huyo hafai aiseeMtu anapita mpaka na majirani rafikizako๐
Na Hana kujificha ukikaa vibaya Hadi nduguzako
Sio akupende tu mjumbe ... akupende Kweri kweri tenaaaa kama hauna maajabu yoyote hapo utaishia tu kusema nhiiiiiiiiiiiiiiiiiii โบ๏ธโบ๏ธโบ๏ธ..Hapo hadi jamaa akupende otherwise unapangwa zako fresh. .
Nyie wanaume mna mambo yenu .
๐๐๐NimechekaSio akupende tu mjumbe ... akupende Kweri kweri tenaaaa kama hauna maajabu yoyote hapo utaishia tu kusema nhiiiiiiiiiiiiiiiiiii โบ๏ธโบ๏ธโบ๏ธ..
Nimekazia tu Wajumbe naendelea kunukuu โ๏ธ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Hainaga usemejii...๐คญMtu anapita mpaka na majirani rafikizako๐
Na Hana kujificha ukikaa vibaya Hadi nduguzako
๐๐Sasa upate mwanaume was hivo si wanakukuta pumz imekata ๐๐๐Huyo hafai aisee
Atakuletea nuksi , magonjwa ndani .