TANESCO kama kuna kosa tumewakosea watu wa NJIRO-ARUSHA mtusamehe 😂😂
Ofisini mmekata saa 2 asbh, nimetokapo saa 12 kasoro flani bado haujarudi..
Nimefika home nikaandaa msosi, sijala nikamaliza nako mmekata… hapa nakombelezea moto kwenye Laptop 🥹
Sio vizuri jamani,, basi wakati mnajivuta vuta kurudisha umeme njoeni mselfike
Wee admn njoo uselfike
TANESCO 😎