Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole sana mazee....
Ni vizuri kujamiiana ili mambo yaende...
Umenikumbusha Chuo Fellowship.
Mwenyekiti wa Social matter akawa sijui anatangazq kitu gani..nadhani alikuwa anazungumzia kitengo chake Cha Social matter..Si akasema masuala yote ya kujamiiana Na mengine kama hayo😁watu kicheko
Mchungaji akamwambia badilisha bwana,kujamiiana ndio nini?
Akawaambia waumini kuwa Mwenyekiti ameteleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…