Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sasaa jee!!
Kama kweli vile![]()
Agape tena
Kwani hairuhusiwi kuwa na mahusiano ya agape![]()





Alikuwa wapi huyu ninavyomchania Kamanda mashairi?Majibuuu Saint Anne
tutaangalia ratiba ya majukumuTufanye kesho mchana Mkuu
Ndio kitu Gani hicho?Agape tena
Watu wanataka u t e l e z i.![]()
Sawatutaangalia ratiba ya majukumu
Dawa ya kufanya joints za mwili zikae sawa.Ndio kitu Gani hicho?
hahahahahaSawa
Kikubwa isiwe usiku Mkuu.
Mchana huwa nazurula mitaani huko, tutaonana.
Woooiii











Si zile dawa za panya zinaitwa indocin na muscle plusDawa ya kufanya joints za mwili zikae sawa.

Unataka kupasuka mbavu???🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️😁🏃🏼♀️Woooiii
Iachie boss ledi tuone mlivyokuwa mnacheza![]()
Tuone JamaniUnataka kupasuka mbavu???![]()

Amenn Amen mkuu!! Usijaree Ndo mambo za mahusiano zilivyo All the bests na wizo mupya broh!!✌️✌️Msema kweli mpenzi wa Mungu,
Kuna mahali tulipishana na mtarajiwa, hata hivyo nimeona hii isiwe sabb ya mimi kutotimiza ndoto yangu ya kuoa..
Kwa sasa nipo kwenye meza ya mazungumzo na mlimbwende mwingine tukijadiliana terms and conditions..
Panapo majaliwa tukifikia maridhiano, nitatoa tamko rasmi kwa wote mnaonitakia mema ndg yenu..
Nashukuru sana mpendwa kwa kujali maendeleo yangu..
Ndio Imani Yangu inaniaminisha Hilo kabisaaa!! Imegoma kukataa !!
Unaamini?![]()
Ana bahati yake duniani hapa amekutaka na de Super Boss lediWeeee Lovelovie ni anachezaaaa balaaaa! Nilifurahi na roho yangu nakwambiaaa alicheza mziki nikafurahiiii![]()





Kivuliii💃Kila niendako ananifuataView attachment 2370031
MweeNdio Imani Yangu inaniaminisha Hilo kabisaaa!! Imegoma kukataa !!
Enjoy mdogo wangu kupendwa rahaa!!







