Kama kawaaa, hapa naanza piga mswaki ka colgate active, namungunga na pipi kifua na kachupa kangu ka asali, maana pale ili panogw unamwagia asalia kidogo.. Unakuwa una mung'unya ule utamuu huku unaopita kwenye chaki kama zidane vile.. Dada wa kazi ana kazi