Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Hapa nimekaa napiga maziwa fresh ya moooo.. kamua weka kwemye kombee na kiazi ( manumbu traamu), nyumbani ni nyumbani tuu.. Ivi mnakimbiaga kujitegemea mnakosa nini
Unanenepeana mwenywe huna baya wala hudaiwi kodiπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†ushindwe mwnywe kunenepa kama kiboko
 
Kumbuka wadada wa kazi vizazi viko karibu ukiitwa baba mapema hii sijui utamlisha nn huyo mtoto πŸ˜’
πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Uzuri mie home hawafukuzi mtu kuna Bro wangu mwingine hadi kao hapa hapa hadi kazeeka kama ukoo wote tunaishi hapa kazi kwetu mabepari hamtaki kukaa home mnaona aibu.. Mie hapa siondoki hata nioe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…