Selfika na JF: Snap it. Show it

Sipatagi notification mwenzioo
Haya eti huko Chuga Na Moshi shule gani ya seminary nzuri ya wasichana ambayo ada ni nafuu walau na siye wengine twaweza afford?Niko na kabinti ka std 7 hapa ndo natafuta shule akafanye usaili ya girls na isiyo na makeke na mbwembwe za wazazi wa Dar!
 
Aisee sifahamu.. labda Mjep anayesomesha…
 
Huu uzi ni devuldg
St. Theresa, Kisongo, Arusha.
 
Nifichwe niringe😂
Sina vocha ndio maana sijaonekana, hapa enyewe nashangaa kujikuta live humu wakati bando sina

Nifanyie namna basi ndugu yangu
Pole sana wakwetu
Pakuweka napajua😆😆😆
 
all the best ,umekuza

Anwarite , St. Mary goreth , Kibosho girls zipo moshi. angalia na St.Mary's
Mazinde juu ya Tanga ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…