Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
HahahahahahaDada Osama, mara hii uko Ntwara??
Niwachee, nakula chamaki Nchanga....
HahahahahahaDada Osama, mara hii uko Ntwara??
Hahahaha
Wewe umemuelewa mkuu?!
Dada kasema!!Sasa sikia hapa ni JF, sina uhakika kama unanifahamu ama imekuwaje na hilo jina. Ila naomba uliache.
Kama unanifahamu basi endelea kulitumia huko kwingine sio hapa![]()
Pande zipi etiNipo Kenya kwa mudaView attachment 1258007
Hizo emoj zaitwajee
Wanaporuhusiwa kula hii kitu bila bughdhaPande zipi eti
Mimi unifundishe na maana zakeHizo emoj zaitwajee
Hahah...you're funny myUmefurahi nini eti jamani
...sijui ulikuwa wawaza niniKiongozi umwnipa ujumbe gani hapo?
Kiongozi umwnipa ujumbe gani hapo?
Weekend ndo hii na mpango ndo huo nishauseti kabisaa. Mwenye kuuhitaji aje Dm nimpe handle. Msije Sema Ooh wana hawatoi koneksheni Mara hivi Mara vile. Njoo PM ukajiponee bila kwere,maana katikati ya mwezi kutoa hiyo laki bila kuzama upande wa pili hapana kwa kweli.
View attachment 1258014
Hizo emoj zaitwajee