Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa Mr Shimba ya Buyenze hii dislike ya Nini?? πŸ˜…πŸ˜… Hutaki sophy27 awe wangu?
Disilaiki nimeitoa ila Sophia muache! Madokta mna soko sana sasa umekosa wooote huko hata wagonjwa wako huko umekuja kumdandia mpwa wangu? Tangu uandikiwe ile barua nakumaindi sana basi tu 😁😬
 
Atakuwaje singo na wewe dokta wakati unajua kuwa Wasukuma tunambeba hivi karibuni? Hebu mwache mpwa wangu pulizi 😬😬😬
Aagh tatzo wewe na mjukuu wako mnambwela Sana
Yani Hadi Leo hamjafanya maamuzi tu? Hvi kwa mrembo Kama huyu sophy27 mnapata wapi ujasiri wa kusikilizia bila kufanya maamuzi Hadi mwaka unakatika huu?
 
Disilaiki nimeitoa ila Sophia muache! Madokta mna soko sana sasa umekosa wooote huko hata wagonjwa wako huko umekuja kumdandia mpwa wangu? Tangu uandikiwe ile barua nakumaindi sana basi tu 😁😬
Alafu leo kaniambia nimuandikie barua nyingine, anasema amemisi sn baruaπŸ˜…

Fanya maamuzi magumu mkuu,Mimi nitambeba mkimbwela mbwela ohooo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…