wee yuleeee alinitakaaaaaa ila kanikutaaaaa sina hulka na magume gume ya duniani, mwanzoni kabisaaaa alikuwa anakuja kwa space, nakumbukaa had aaanze bifu, eti alitaka story of ma lifeee,. Na nime date na watu wangapiiiii?? Kheeeeeh nkaona huyu analeta mambo meusi.
Nkampaaa cha mbavuuuu ndo akaaanza kuletaaa kisirani chakeeee.