Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Cha mchongo 🤣kiuno nyigu wewe
yeah upo sahihi
Kinaonekana kidogo kwa sababu mwili ni mdogo
Cha mchongo 🤣kiuno nyigu wewe
yeah upo sahihi
Yanga tumeshinda 4 na haturingiMtanuna sana umbwa nyie na bado kwa mkapa!View attachment 2352804
Mmewafunga watu ambao hata hawajafanya mazoezi wameingia dar usiku jana uchovu kama wote na bado mkawa na home advantage. Vyura nyie! 🐸Yanga tumeshinda 4 na haturingi
eeh kiukweli nafurahi kuona watu wakiwa in love .🤣🤣😂😂😂
Unaamini kweli?
okay niceCha mchongo 🤣
Kinaonekana kidogo kwa sababu mwili ni mdogo
Tuendelee kula mtori😂😂😂😂eeh kiukweli nafurahi kuona watu wakiwa in love .
so hata kama sio its okay with me .
Natafuta kitambi Kwa hali na maliokay nice
Mbona nyie mlitungwa na watu ambao ndio kwanza wanaanza kujifunza mpiraMmewafunga watu ambao hata hawajafanya mazoezi wameingia dar usiku jana uchovu kama wote na bado mkawa na home advantage. Vyura nyie! 🐸
Shepu la jumla jumla😍🎶Kamaa peleee..
Kama pelee
Kamaa pelee
Kama Pelee 🎼
Baby unacheza kotee
Unaifinya unaiwekaa
Kama peleeee
Unapiga miguu yotee
Unaikunja unaiweka 🎼
Kama peleee
Aah unamiminaa eeehhh
Aah unaiwekaaa
Kama Pelee🎶🎼
......................................
...,.....................................
Enjoy your weekend wapendwa ✌️✌️!
La mchongo!😉😉!!Shepu la jumla jumla😍
haya unga uende kumshushia mavocal hukoTuendelee kula mtori😂😂😂😂
Ngoja niunge unge Kiingereza hapa nimuandikie mtoto wa watu
Sielewi naanzia wapi kukiunga...hakiyanani😂😂😂haya unga uende kumshushia mavocal huko
kula carbohydrates hizo nonstopNatafuta kitambi Kwa hali na mali
Na Mashavu yangu yalivyonona kama vitumbua🤣La mchongo!😉😉!!
Leo kwa mbaliiiiii umejitahidi kupita nakedd kwambali sana!!
Fanya uweke naked as naked asasa
hahahaa nenda huko upate mamboSielewi naanzia wapi kukiunga...hakiyanani😂😂😂
Ngoja niende google translate
Mashavu ya chini labda juu hakuna mashavu yaliyonona hapo!!😉Na Mashavu yangu yalivyonona kama vitumbua🤣 Hakuna mashavu hapo!
Ngoja aje na Captain..Mashavu ya chini labda juu hakuna mashavu yaliyonona hapo!!😉
Weka tuone!!
Mwee🤣🤣🤣🤣hahahaa nenda huko upate mambo
nimekumbuka zamani unampigia mtu simu na kumuimbia wimbo hahha
Post M-alone kapteeeeiiinnnn wherayuuuu??? Come this way one time Anne anakuita pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Ngoja aje na Captain..
Asije sema sikumwita kwenye picha yangu ya tupu😂