Nifundishe kupika tambi jaman kuna mtu alikuja home hapa nikaona anapika tambi kwenye flampen kaweka hoho karoti viungo kama vyote zilikuwa tamu balaa wakati mm tambi napika naweka maji naziweka humo maji yakiisha nakula
Ni rahisi tu
Ukizichemsha tambi weka kwenye chombo zikauke maji . Then kata vitunguu , hoho na carrot .
Baada ya hapo weka karai then mafuta weka viungo vyako hivi kwa karai zikaange ukianza vitunguu hadi cha karroti then weka tambi zako humo zikaange na viungo hivyo .
Punguza Moto ili zisiungue
Nahisi akili za utoto zile .. walijua kunichamba kweli . Mmoja nilikutana nae chuo mwanzoni sikutaka ushoga nae Ila Mungu huyu . Tuko marafiki hadi leo .
Ni rahisi tu
Ukizichemsha tambi weka kwenye chombo zikauke maji . Then kata vitunguu , hoho na carrot .
Baada ya hapo weka karai then mafuta weka viungo vyako hivi kwa karai zikaange ukianza vitunguu hadi cha karroti then weka tambi zako humo zikaange na viungo hivyo .
Punguza Moto ili zisiungue