Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Sep 2, 2022 #258,661 Lenie said: Salama jirani Namtafuta rafiki yangu Depal umenionea wap Click to expand... Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela
Lenie said: Salama jirani Namtafuta rafiki yangu Depal umenionea wap Click to expand... Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Sep 2, 2022 #258,662
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,663 Saint Anne said: Haya manyumbu yameshinda? Uchawi upoπ Click to expand... Sisi tukishinda uchawi upo. Ila nyie mkishinda dk ya 101 ni kawaida
Saint Anne said: Haya manyumbu yameshinda? Uchawi upoπ Click to expand... Sisi tukishinda uchawi upo. Ila nyie mkishinda dk ya 101 ni kawaida
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,664 Poker said: Namwona Carlos Tevez namna anavyochekelea! Click to expand... Jana mambo yalikuwa mazuri. Sasa tukimfunga na Arsenal j pili itakuwa burudani
Poker said: Namwona Carlos Tevez namna anavyochekelea! Click to expand... Jana mambo yalikuwa mazuri. Sasa tukimfunga na Arsenal j pili itakuwa burudani
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,665 Lenie said: Salama jirani Namtafuta rafiki yangu Depal umenionea wap Click to expand... Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£
Lenie said: Salama jirani Namtafuta rafiki yangu Depal umenionea wap Click to expand... Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,666 myoyambendi said: Salam kwenu wote Click to expand... Salaam mzee jirani. Habari ya uzima?
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,667 National Anthem said: View attachment 2342848 Click to expand... Mnatusingizia tuu
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,668 Depal said: Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela Click to expand... Relaaax.. halafu wasiliana nao
Depal said: Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela Click to expand... Relaaax.. halafu wasiliana nao
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Sep 2, 2022 #258,669 Satoh Hirosh said: Depal kalala kanisani kwenye mkesha Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app Click to expand... Amekua mpendwa siku hizi kumbe, sikujua
Satoh Hirosh said: Depal kalala kanisani kwenye mkesha Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app Click to expand... Amekua mpendwa siku hizi kumbe, sikujua
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Sep 2, 2022 #258,670 Carlos Tevez said: Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£ Click to expand... Huo mtoko umezua sintofahamuππ
Carlos Tevez said: Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£ Click to expand... Huo mtoko umezua sintofahamuππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Sep 2, 2022 #258,671 Depal said: Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela Click to expand... Hatimaye umerudi, nilipata mashaka labda wasiojulikana wamefanya yao π Emu wapigie kabla hawajakufanyia utapeli, au mambo ya network
Depal said: Nipo shost π Ngoja kwanza nimalizane na voda Airtime ya efu 30 na kwenye simu haijafika.. nimevurugwaaaa Risiti naisoma mara elfu kuhakiki namba Ni yenyewe Majina ni yangu Lakini Vodacom hawanifikishii hiyo hela Click to expand... Hatimaye umerudi, nilipata mashaka labda wasiojulikana wamefanya yao π Emu wapigie kabla hawajakufanyia utapeli, au mambo ya network
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Sep 2, 2022 #258,672 Lenie said: Hatimaye umerudi, nilipata mashaka labda wasiojulikana wamefanya yao π Emu wapigie kabla hawajakufanyia utapeli, au mambo ya network Click to expand... Voda wameniambia hawajapokea pesa hiyo, so niwarudie crdbβ¦ Crdb wananiambia nisubiri masaa 48 Jamanii nimekwazikaaaaa
Lenie said: Hatimaye umerudi, nilipata mashaka labda wasiojulikana wamefanya yao π Emu wapigie kabla hawajakufanyia utapeli, au mambo ya network Click to expand... Voda wameniambia hawajapokea pesa hiyo, so niwarudie crdbβ¦ Crdb wananiambia nisubiri masaa 48 Jamanii nimekwazikaaaaa
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Sep 2, 2022 #258,673 Carlos Tevez said: Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£ Click to expand... ππππππ€£π Mtoko wa kikazi bana
Carlos Tevez said: Mara ya mwisho rafiki yako alikuwa na mtoko π€£π€£ Click to expand... ππππππ€£π Mtoko wa kikazi bana
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Sep 2, 2022 #258,674 Your browser is not able to display this video.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Sep 2, 2022 #258,675 Depal said: Voda wameniambia hawajapokea pesa hiyo, so niwarudie crdb⦠Crdb wananiambia nisubiri masaa 48 Jamanii nimekwazikaaaaa Click to expand... Jamani mbona usumbufu huo Na hapo usipofatilia wanaweza kukuzika 30 yako. Umecheki salio wamekata?
Depal said: Voda wameniambia hawajapokea pesa hiyo, so niwarudie crdb⦠Crdb wananiambia nisubiri masaa 48 Jamanii nimekwazikaaaaa Click to expand... Jamani mbona usumbufu huo Na hapo usipofatilia wanaweza kukuzika 30 yako. Umecheki salio wamekata?
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,271 Sep 2, 2022 #258,676 Lenie said: Jamani mbona usumbufu huo Na hapo usipofatilia wanaweza kukuzika 30 yako. Umecheki salio wamekata? Click to expand... Imekatwa ππ
Lenie said: Jamani mbona usumbufu huo Na hapo usipofatilia wanaweza kukuzika 30 yako. Umecheki salio wamekata? Click to expand... Imekatwa ππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Sep 2, 2022 #258,677 Depal said: Imekatwa ππ Click to expand... Au acc imetuna sana so wamekuona don huwezi fatilia 30k? π
Depal said: Imekatwa ππ Click to expand... Au acc imetuna sana so wamekuona don huwezi fatilia 30k? π
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Sep 2, 2022 #258,678 sophy27 said: Good morningView attachment 2342851 Click to expand... Auntie huyo Yule fundi bado nipo naye hapa tangu juzi, tunasubiri utume picha namna ulisuka. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
sophy27 said: Good morningView attachment 2342851 Click to expand... Auntie huyo Yule fundi bado nipo naye hapa tangu juzi, tunasubiri utume picha namna ulisuka. Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Sep 2, 2022 #258,679 My country pipo Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Carlos Tevez JF-Expert Member Joined Jun 8, 2022 Posts 383 Reaction score 1,021 Sep 2, 2022 #258,680 Depal said: ππππππ€£π Mtoko wa kikazi bana Click to expand... Si ni mtoko lakini? Halafu ndo mambo gani hayo ya kumuweka rafiki yako roho juu juu?
Depal said: ππππππ€£π Mtoko wa kikazi bana Click to expand... Si ni mtoko lakini? Halafu ndo mambo gani hayo ya kumuweka rafiki yako roho juu juu?