Carlos Tevez
JF-Expert Member
- Jun 8, 2022
- 383
- 1,021
Ngoja nipite kule nianze siku yangu vyemaNilikuwa na stress zangu ila baada ya kuingia Uzi wa Chelshit stress zote zimeisha.
Yaani nimecheka...wanasema Kwa uzwazwa wa Tuchel,hata wakicheza na Tukuyu Fc wanafungwa🤣🤣🤣
Selfika kwanzaNgoja nipite kule nianze siku yangu vyema
Of all people waliona ww ndo unaweza amua?Nililala
Usiku mnene nikashtuka
Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂
Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌
Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi
Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Tuombe tuu uzima. Weekend tukutane hapa hapa. Tuanzie pale tulipoishiaBana weee
Atakuwa amesoma maoni ya watu
Next game atarekebisha
Ugomvi wa nini tena usiku usiku😂😂😂Nililala
Usiku mnene nikashtuka
Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂
Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌
Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi
Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Utacheka uishiwe nguvuNgoja nipite kule nianze siku yangu vyema
Nani?Bana weee
Atakuwa amesoma maoni ya watu
Next game atarekebisha
Anasema wao ni matakataka 😂😂😂😂😂OllaChuga Oc mwamba kama namuona alivyokuwa mdogo kama piriton
Kati ya kazi ambayo huwa haiishi ni pamoja na kusuluhisha ugomvi..Nililala
Usiku mnene nikashtuka
Nikaitwa nikagombelezee ugomvi😂
Lenie jana ndio nimejua hawa wanaochomana visu kuna mengi walipitia 🙌🙌
Hapa ninahisi kuumwa kichwa cha usingizi
Smokers are fyakin dangerous
Jana nimeona
Khaaa
Mtu akikuvutia aisee anaweza kukuua hivi hivi🙌🙌🙌
Mkaka alienda akashindwa 🙌Of all people waliona ww ndo unaweza amua?
Jamaa alikuwa sahihi kukuita. Unajua kwenye situation kama hiyo unaangalia mtu ambaye wanasikilizana huyo akienda ana probability kubwa ya kusikilizwa.Mkaka alienda akashindwa 🙌
Akanipigia mimi, eti yule jamaa anaweza kukusikiliza .. huo muda mie nimemute kwangu nasikilizia
Nikaenda mtu na sauti yangu, yenye unyenyekevu ikiamuaga Lenie
Akapoa kidogo yule jamaa
Ila hasira mingi, akapanick tena.. mtu namlisha namlipia kodi anaenda to…m na boda boda.. akawaka upya 🙌
Mengine siwezi andika.. sio mazuri hata…
Ila nimeogopa sana 😂
Sitaki mchezo na wanaume
Khaaa
Hao watu wana panick mbaya sanaaa
Uzuri, nilifanikiwa mtuliza
The rest hayanihusu
Na jana imekuwa ya kwanza na mwisho.. isije siku nyingine kikarushwa kitu kikaniumiza kimasihara 🙌🙌
Shetani alimpitia mtu 😂😂 Shetani kampitia mtu, shetani huyo huyo akamsahaulisha mtu ushahidi… mtu zikawa 40 za mwizi zimefika 🙌🙌🙌Ugomvi wa nini tena usiku usiku😂😂😂
Msuba haujawahi kuleta matokeo mazuri hata siku moja
Leo siku utaiona ndefu sana na huo usingz labda ujikeep busy
Ww kuna mtu unamsema ww 🤣🤣Upo single afu shabiki wa cheltako bora ufe tu
Mkubwaaa. Poleni kwa kipigo cha janaI love Chelsea
Sasa mmoja ana nguvuKati ya kazi ambayo huwa haiishi ni pamoja na kusuluhisha ugomvi..
Watu wakiamua kugombana ni hadi waamue wenyewe kuacha.
Hahaha Blues for lifeI love Chelsea