Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi mwenyewe nahisi walinipa mbichi.
Toka kipindi hicho sikuwahi kula tena...juzi nimejaribu na Jana njaa imeniuma usiku halafu ndio zipo hizo tu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Na huyo mtu ni wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sema sasa ilikuwaje ukala soseji mbichi? Ilikuwa mwaka gani? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio mimi bana 🀣🀣🀣🀣🀣

Didi ake we acha tu, hujakutana na mashokolo mageni
 
Mimi mwenyewe nahisi walinipa mbichi.
Toka kipindi hicho sikuwahi kula tena...juzi nimejaribu na Jana njaa imeniuma usiku halafu ndio zipo hizo tu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hahahaa pole sana
Yaani ukipata experience mbaya ya kitu esp chakula lazima ukichukie, na itachukua muda sana kukijaribu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…