Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
😂😂😂Unatak ukalipike supu aunt jicholangu 🤣Aunt mkopo umepata dhamana yako ni hilo jicho tuuu😍
😂😂😂Unatak ukalipike supu aunt jicholangu 🤣Aunt mkopo umepata dhamana yako ni hilo jicho tuuu😍
jamni nzuri🥰Aunt aunt aunt auntiisssssssssView attachment 2327545
Asante aunt msusi mm vidole 🔥Halafu una vidole vizuri sana dear!!
Asante Aunt.....jamni nzuri![]()
😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji??Depal nadhani jibu umepata sasaView attachment 2327568
Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂😂😂😂 hivi Kwani atm inatoaga chenji chenji??
Mimi kwenye kahela kangu uwaga kuna efu 8.. haijawahi kutoka 😂😂 yan naitumiaga kuwatoa wenzake… ama ninunue umeme
Crdb ya kwetu pale ni multiple 10 10 tu
Kwahiyo ile 1300,1500,1700 niisahau? 😂😂😂😂
Sasa si tuhamie SA?
Najua ukimpa jirani lazima anipatie na mie
Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣Wanazibania hizo chini ya 10k hazitokagi hata😂😂
Eeh ndio tufanye mpango wa kushift
Nampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamuNajua ukimpa jirani lazima anipatie na mie
Jirani sio mchoyo kama wewe
Ila hee si nimeitamani😍😋😋
We si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨Sasa wa kutupeleka SA amedisapia 🤣
Hao bado mimi sijawaelewa
Laki 4 walikuwa wanakata 1700
Laki 2 1500
Na chini ya hapo ni 1300
Kwahiyo sahivi wataendelea kukata hivyo? Plus na kato la Tozo na VAT?
Sema hii nchi michosho mno,, sasa anaza VAT la nini na washakata PAYE 😔
Selfika basi mkuu?We si ndio umemdisapaisha, sijapenda
Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu
Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo
Tutanunua yetu kubwa na jiraniNampa kidogo ili hata akikupa utapata kadoncho, hakatokata hamu
Kheee unatamani kitu changu? Na Pizza yako ulikula mwenyewe??
Nionyeshe mfano mkuuSelfika basi mkuu?
😂😂😂 kazidi ukorofi naeWe si ndio umemdisapaisha, sijapenda🤨
Saivi ningekua zangu mambele najiselfie na wazungu
Yaani kila kukicha wanazidi kubana kila engo
Lakini ana faida, ona sasa tunalia tozo zimeongezeka, akija saivi usirudie hyo tabia😂😂😂 kazidi ukorofi nae
Kama vipi tuchonge na waajiri, wAwe wanatupa hela mkononi
Una kucha nzuri kama za CRDBHenna
Kucha Sasanifundisheni kufuga kidogo looh