Selfika na JF: Snap it. Show it

Pizza me naipenda ila sio ya kula kila siku.
Me hua nakula kwa hamu nikiimiss, kama hapa kuila tena ni hadi next month.

Unajishaua, nitakushtua fuvu ohoo
Bana me bado sana πŸ˜‚
Baga nakula sana tu, ila pizza nzitooo hata kuitafuna 🀣🀣🀣

Ni muhimu sana mafuvu kushtuliwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bana me bado sana πŸ˜‚
Baga nakula sana tu, ila pizza nzitooo hata kuitafuna 🀣🀣🀣

Ni muhimu sana mafuvu kushtuliwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Upoje 🀣🀣🀣🀣🀣

Em niache mieπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkiambiwa mkaitumikie serikali hamtaki 🀣🀣
Sahivi ungekuwa unahesabu dk za kwenda nyumbani
Watu wa serikali si uliwaona kule wanavyolalamikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapa kila mtu anaumia kwa namna yake🀣
 
Watu wa serikali si uliwaona kule wanavyolalamikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapa kila mtu anaumia kwa namna yake🀣
Sema inabidi tufatilie bank kumefanyaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…