Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole,

Hebu kuwakomesha hao wenye madharau, tupia nyingine....
 
Kwamba selfika ni wauza mbususuu???😳😳😳😳😳
Possibly 🀷🀷🀷🀷
Mi naongelea nilichomkosea mpaka nikaomba na msamaha. Hata akinigombesha ni sawa maana nilimkera japo mi nilidhani ni utani.

Aliyemfuata PM kumwambia hayo maneno ya mbususu si anamjua mwenyewe? Mbona nawe unayaleta hapa tena?
 
Mi naongelea nilichomkosea mpaka nikaomba na msamaha. Hata akinigombesha ni sawa maana nilimkera japo mi nilidhani ni utani.

Aliyemfuata PM kumwambia hayo maneno ya mbususu si anamjua mwenyewe? Mbona nawe unayaleta hapa tena?
Jamani mie nimeota kwani??? Si kaniambia Lovelovie mwenyewe hapo juu ndio nikamshauri hapo nini mbaya??
 
Lovie usijali bbygal 😌😌
Yaani katoto kanaposti picha kuchangamsha jukwaa mnasema kanauza mbususu 🀣🀣🀣🀣 acheni bhanaa mnazingua
 
Nishakusamehe brother Shimba
Asante sana bageshi.

Tuishi kwa amani na kupendana.

Tutakoseana yes maana mtu unaweza kujikosea hata ukiwa peke yako. Hili likitokea basi tusameheane kama inawezekana na maisha yanaendelea.

Ubarikiwe bageshi. Nimefurahi 🀸🏿🀸🏿🀸🏿🀸🏿
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…