Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Yanga mna matatizo ganiUsije ukanitelekeza njiani..huaminiki wewe.
Kweli kabs unaanzaje kuchukia na mtu wa mtandaoniπππ Umeonaaa, mrembo kama huyu hutokuta anazeeka yani kila siku kama kigori, maana moyoni hana baya wala uchungu, ana generate u binti kila siku kwenye mwili wake na roho yake..
Asante, nafurahi pia.Nipo poa
Nafurahi kukona hapa
ππππ stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki ππππ anaweza kukusaidia kuli manage vizuri βοΈKweli kabs unaanzaje kuchukia na mtu wa mtandaoni
Nashangaaga sana wanaotukanana mitandaoni
105% πUnapenda sana muvi lizzy
Embu hizi sifa ziwafikie watesi wangu βΊβΊπππ Umeonaaa, mrembo kama huyu hutokuta anazeeka yani kila siku kama kigori, maana moyoni hana baya wala uchungu, ana generate u binti kila siku kwenye mwili wake na roho yake..
Hapo kwenye bold umepiga ramli??π³π³π³ππππ stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki ππππ anaweza kukusaidia kuli manage vizuri βοΈ
ππ mtu anae amuwa kuwa mtesi wako automatic ni mchawi tuEmbu hizi sifa ziwafikie watesi wangu βΊβΊ
Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe105% π
Basi hii naitengenezea frame πππ mtu anae amuwa kuwa mtesi wako automatic ni mchawi tu
πππ Muandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwakoHapo kwenye bold umepiga ramli??π³π³π³
Ebhanaee leo sifa atazioga sifa yake nyingine hapa ni pichaππππ stress mbaya mkuu, na hasa mtu anaposhindwa kuzi handle.. ila huyu mrembo Lizzy anafaa kuwa msaikolojia anaonekana mtulivu sana katika akili sio mkurupukaji, anasikiliza kabla hajasema, so hata ukiwa na jambo zito mcheki ππππ anaweza kukusaidia kuli manage vizuri βοΈ
ππππ ukitaka frame nitume nikuletee kabisa ambayo utakaa nayo miaka mia hadi wajukuu na vituu wataikutaBasi hii naitengenezea frame π
Yeyote atakaekuwa na swali ntamuelekeza kwako π€π€
Wenye vipaji vyenuMuandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwako
Alafu ni mtaalamu kwenye maswala ya picture, picha zake unaweza ziuza kwenye site baadhi baadhi.. picha zake zina utulivu na anajua location ya picha ukiona lazima macho yakamatwe kama vile mtaalamu wa UI ( user interface ) vile ππEbhanaee leo sifa atazioga sifa yake nyingine hapa ni picha
anapiga realtime pics π
Mwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe
ππππππππππππ Muandiko wako unasema , picha zako zinaongea ... hapa nilipo naisikia sauti ya unyenyekevu iliyobeba nguvu ya kugeuza moyo ikitoka kinywani mwako
Mi napenda animation movies embu nitajie nzuri nzuri unazozijua nishushe
Mie huwa napenda za Kijasusi , hasa zinazi jumuisha sana matumizi ya ICT- Cyber War and Security na zina deal sana Technology .. na zile za kutumia akili nyingi hapo unitoi πMwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.
Kung Fu Panda Dragon Knight (series) & The Bad Guys (feat) umeona???View attachment 2323204
Kungfu/the bad sijachek ngoja nikazichungulieMwenyewe sijaangalia animation sana siku za karibuni.
Kung Fu Panda Dragon Knight (series) & The Bad Guys (feat) umeona???View attachment 2323204