mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Huyo ni kibokoKuna watu wabishi.
Huyo ni kibokoKuna watu wabishi.
Wenye mali zaoKama nanii
Yaani huyo ni bora kabisa hayuko kwenye FURUSHI





HahahahahaWenye mali zao
Mwanya mtamuView attachment 1218884Sasa uko na kichwa, kiuno na miguu!!

Muone kwanzaMwanya mtamu![]()
Shamba ushaliandaa?Naomba begi mkuu
Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
Ni yeye, kwa vile iko gugo haimaanishi kuwa sio yeye,, jibu tosha kabisa hili
Nawaona mnavyo screen shot...Na ka mwanya sasa!!!
![]()
Shamba ganii etiShamba ushaliandaa?
Aliyesema kizuri kula na mwezio aliwaza mbali sanaHahahahaha
Hakuna jipya
Naomba begi mkuu
Hivi kumbe tunatakiwa tuscreenshot eeeh?Nawaona mnavyo screen shot...
Watu walivyo wachoyo sasaAliyesema kizuri kula na mwezio aliwaza mbali sana
Naami alimaanisha vitu kama hivyo