Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Ww Tayana-wog umemjuaje shushushu wwcocastic Lovelovie Pau Bae Mjep sophy27 Carrasco putin Tayana-wog na wengine Nawatania wakati mwema wapendwa!!
Malezi Mkuu, Watoto wetu wanapitia mengi sisi tukiwa busy na utafutaji.Inahusu nini??? Naomba samari mkuu Mie mvivu kusoma!
Malezi Mkuu, Watoto wetu wanapitia mengi sisi tukiwa busy na utafutaji.
Malezi Mkuu, Watoto wetu wanapitia mengi sisi tukiwa busy na utafutaji.
Mmh!
Nakupigia kuraaa, kampeni soon.SoC02 - Nimfiche wapi Binti yangu?
Dunia gunia wahenga walisema, Pilika za maisha hasa utafutaji umetufanya kuwa busy na kusahau wanaotuhitaji zaidi. Ubusy wa kazi na Safari umenifanya nisipate muda wa kukaa na familia yangu. Nina binti yangu mdogo wa miaka minne,mama yake ni mtumishi na yeye akitoka asubuhi hurudi jioni au...www.jamiiforums.com
Nimfiche wapi Binti yangu
Naombeni Kura zenu wadau wote wa huu uzi na wote mnaochungulia hapa Mshana Jr Antonnia Nuzulati Depal cocastic Heaven Sent Saint Anne Mjep Lovelovie Carrasco putin myoyambendi Lenie Lizzy sophy27 PAUL Bae
Yaan shougaaaaa angu, had HB ametoka, sijamuona. Bas tuma ile uliyotumaga siku ilecocastic Lovelovie Pau Bae Mjep sophy27 Carrasco putin Tayana-wog na wengine Nawatania wakati mwema wapendwa!!
Watu wana misemo
Aunt Sikuona hii 😂😂😂😀Dereva wa moyo wangu
Usinipeleke puta puta (Puta)
Taratibu mwenzangu
Penzi njia yenye matuta (Tuta)
Amepinga nimepinga
Penzi hamwezi futa (Futa)
Nakula kwa raha zangu
Nyama mpaka mfupa (Fupa)
Kisura cha upole
Kama mama yangu (Talalala)
Unifunde kwa mkole
Uwe somo yangu (Talalala)
Huba tulisosomole
Chuzi kwa matandu (Talalala)
Nile bungo kwa kidole
Mambo chambu chambu
🎼🎼🎸🎶🎶🎺🎵🎵
Nawe pia madam uwe na sikunjemacocastic Lovelovie Pau Bae Mjep sophy27 Carrasco putin Tayana-wog na wengine Nawatania wakati mwema wapendwa!!
Uwe na wakati mwema😘Salama kabisa dear
🥰Mama juniaMoyo wangu tembea na yule
Na yuleee
Ndio nampendaga
Macho yangu mtazame yulee
Mtazame yulee
Namwamini sana.
Ah ah ahhhh
Kuna muda
Namuomba Mola angekuleta mapema
Ila bado siyo mbaya
Wewe ndiye unayejua maumivu yanguu
Siko radhi unitoke machonii
Nitakuweka moyoniiiii..
........
Haya shusha verse nikulipe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unaenda wapi?!cocastic Lovelovie Pau Bae Mjep sophy27 Carrasco putin Tayana-wog na wengine Nawatania wakati mwema wapendwa!!
AminaUwe na wakati mwema
Mapungufu siwez vumilia mapungufu Labda Uwe na hela
Unapenda kufanya mapenzi mchana ww binticocastic Lovelovie Pau Bae Mjep sophy27 Carrasco putin Tayana-wog na wengine Nawatania wakati mwema wapendwa!!