Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 670
- 2,278
Afu mtulie tena msiwe mnapenda hera CAUSE mkinipenda kwasababu ya hdra sku zikiisha mnaweza mkaniacha kwaiyo nipenden hivyo hiyo tyuWee Cuzoo hela huna, afu tuwe wako vipi tena??![]()
Afu mtulie tena msiwe mnapenda hera CAUSE mkinipenda kwasababu ya hdra sku zikiisha mnaweza mkaniacha kwaiyo nipenden hivyo hiyo tyuWee Cuzoo hela huna, afu tuwe wako vipi tena??![]()
Weee Amna iyo 🤣🤣🤣
Tulia tyu tutavumiliana mbele kwa mbeleWeeeh mie sitaki cuzoo ake baki na cocastic wakooo!!
Jf mshanishinda tabia cuzoo Sitaki mimi!!🙌🙌🙌🙌
Waambie waambie hao🤣 👌Afu mtulie tena msiwe mnapenda hera CAUSE mkinipenda kwasababu ya hdra sku zikiisha mnaweza mkaniacha kwaiyo nipenden hivyo hiyo tyu
Wee shoss Kwa cuzoo ako hapanaa!! Mie nawee najua hatuezi peana hekaheka ndiokwanzaaaa tutakubaliana tumtunze vizureee bwanaetuuuuu!! Yani mie nilivo mzembe mzembe Kazi itakua kwakooo tu mamaaa!!!hutaki uwe mke mwenza angu? Nikupe heka heka. Uwiiiiiiih
Walimu wa sayansi wanoko wasaliti kwenye mapenzi watundu kitandani Ila wabishi kuachwaMasomo ya sayansi mamdo!
Shem kumbe unamiliki pisi kali hivyo aiseeAfu mtulie tena msiwe mnapenda hera CAUSE mkinipenda kwasababu ya hdra sku zikiisha mnaweza mkaniacha kwaiyo nipenden hivyo hiyo tyu
Weee cuzooo sitaki mie !!Tulia tyu tutavumiliana mbele kwa mbele
Nimemic kitambi embu nitumie nione kidogo tuWeee Amna iyo![]()
Mtu mwenyewe Vocha ya jero tu kasheshe Sitaki mie shoss!! 🤣🤣cuzooo huyo utamuwezaa sasa??? Nmecheka mbavu cnaaa.
Nisaidie wanielewe kama meme nilivyoWaambie waambie hao🤣 👌
Wakupende ulivyo na ile kofia yako pambee👌👌
😂Looh
Jamaniiiii!! Hayanaga formula bana!!Walimu wa sayansi wanoko wasaliti kwenye mapenzi watundu kitandani Ila wabishi kuachwa
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hahahhahahahha..
Ntawachomolen moyo wangu nyinyi watoto washangaz iwe mali yenu moja kwa mojaWeee cuzooo sitaki mie !!
Una utani na @Ntiliseswa mamdo🤣🤣🏃🏃🏃🏃
Hahahhahahahha!! Ntiluseswa Mtoto kakuelewa tayari kazi kwako tu cuzoo!!🤣🤣🤭🤭Waambie waambie hao🤣 👌
Wakupende ulivyo na ile kofia yako pambee👌👌
Una msema mumeo hujui @Ntiliseswa ndyo mumeoUna utani na @Ntiliseswa mamdo![]()
Sjazimiliki bado zinaishi kwa shangaz