Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimecheka. Kuna snap unatoka kama mdoli sijui
Eehhh mama pastaa jana madogo wamekuja kukusalimia wananiuliza mamdo simu yako ina snap??? mie natoa macho tu snap ndio kidudu ganii hahaha wakaniambia weeee mamdo ushazeeka tunabadilishana simu uchukue hiki ki tekco batan utupe hiooo ...yani hujui hata snap huna snap uwiiiiii mamdo ushakua wa kijijiniiii!!!
Wakadownload snap basi Simu naletewa ikiita tu nyieeeeπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
 
Nimecheka kama mazuri; wacha madogo wakuchangamshe. Kuna filters kwa kweli hapana; unatoka ka-toy, mara uso mwekunduu, eyelashes kama brush
 
Madam mwenyewe, kumbe pacha wa kidoti/jokate
Kidot wapi best mambo ya snap hayooo!!
Hakiii snap imenishinda tabiaaa!! Ukitaka Hadi miwani inakuvalisha nyieeee
!!
Ukitaka na shedo inakupakaaa

Na hela ma dolari inakuwekea
Hata uwe na mapele ajeee inakumake up unakua softiiiiii nyieee
!!

Na kope inakubaandika Jamani jamani
!!
 
Nimecheka kama mazuri; wacha madogo wakuchangamshe. Kuna filters kwa kweli hapana; unatoka ka-toy, mara uso mwekunduu, eyelashes kama brush
jamaniiiii jamani!! Ngoja nikuoneshe nyingine walinisnap ikanivalisha miwani πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
jamaniiiii jamani!! Ngoja nikuoneshe nyingine walinisnap ikanivalisha miwani πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚!!
Endelea kuitumia, kuna filters nzuri tu, utazifurahia na itakunogea
 
Siku hizi sio ladies and gentlemen; ni "filters and gentlemen"
 
Kaisiki umale shule nikutwala sijui nimepatia aliimba saida. uko vizuri Madam ningekuwa staff kwenu lesson plan yako ningeandaa Mimi daily sio kwa mapicha hayo.
Kaisikiiiii!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£ Hahahaaa.. kila Siku nahombana na Mkuu kuandaa lesson plan kama ulijuaaaaa!! Aisee njoo tu uniandalie best!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…