kabisaaa liko mwshoni.
Now inabidi nipunguze kujiona special.
Nitembee na beat la dunia linavyotaka, hii baridi itaniua bureee akati wa kunipa joto wamejaa teleee, Nawakataaa.
Akuuuh ntakufa na utamu wangu bureee, kwani hiki kitobo nilununua au kukopa?? Si nilipewaa bureeeee, wala sidaiwi.
Akuuuuuh.