Mimi nilishastafu miaka Kenda iliyopita, kwahiyo Sina connection yeyote currently Chief ila kama ni kulima have got huge farmers to cultivateπ€ͺππ
Nilikuwa naongea na mshua kwa simu ndogo huku naperuzi hii page,, nimekutana na neno βdunguβ
Nikajikuta cheko limeniponyoka, mshua akauliza vipi π€£π€£π€£π€£π€£