Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh nyie sie wa mchezo mchezo
Siwezi kuwepo huko ..nitasubiri picha tu mie

Watu wasikuchokoze kipindi hichi maana utawapa jicho kali zaidi la nandy .
Kila la kheri katiks Safari yako
ila Nandy lile jicho ni noumaaah.
Afu voice notes yake imevuja akiwa anampanga Mwijaku amchafue Zuchu mitandaoni, afu atampa hela.

Sasa hela hajampa, kheeeeh mwijaku kaamua kulipua

Sema watu tyuuh hawajataka kuendekeza unaa, ingekua noumaaa.
 



Hapana chezea mimba aisee
Kisa alimkanyaga shela lake .. anavyolalamika sasa nilikanyagwa sana ndo maana ikabidi nimuangalie hivyo .

Yeah nimesikia kuhusu hiyo voice note aisee wasanii hawa balaa ..chuki kwenda mbele
Watu hawapendani
 
is...L

sema last name ndio zuri... nalipendaga tu
😁😁😁 Ukiniamini kwenye majina unakula hasara, ofisi mengine, kazini mengine, nyumbani mengine, ya simcard mengine 😁😁 wapenzi majina mengine hadi mengine wakiniita nashtuka
 
Wataniita Parod🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ umechachuka vibaya mr vochaa!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…