Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah wale jamaa noma
Wanakushawishi utanunua tu mwenyewe

Mimi huwa navionja sana hapo huku nikisubiri dala dala naonja hata kwa watatu baada ya hapo ndo nanunua [emoji23]
Ngoja na mm niwe nafanya biashara ya popcorn niwe nakuonjesha [emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo napika makande nakunywa bia mpka nichanganyikiwe

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Karibu lunch kwetu aisee

Yani nimesikia shoga nimemuonea huruma ila anastahili hiyo adhabu .

Ana mdomo huyo mbaba labda atajifunza jambo baada ya hapo .
Niliamka siko sawaa, baada ya hii newz, najikuta nipo oukkay!!!

Yaan furaha imekuja ya ajabu, nenda jukwaaa la soka hadi baadhi ya mashabiki wa Utopolo wanafurahi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bumbuli na Nugaz leo watakua na parties, sio kwa furaha hii waliyopewaaah.


Weraaaaaaaaaaaaah.
 
Hiyo inabatilishwa soon.. 😎
 
Kabisaaaaaah, leo ni burudaniiii ktl tasnia ya Soka.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hahaha hakika bora apumzike kidogo bwana yule
I'm glad you're feeling better now

Ngoja niende nikaongeze siku mie [emoji23][emoji23]
Watafurahi sana alijikuta sana bwana haji
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kwa TFF hii. Si walikunywa kahawa wotee? Kwann msamaha usingtolewaaa??

Nashukuru kapewa adhabu ndogo tyuuh ya kumkumbusha na kumjuza kuwa kuna MAMLAKA.
Nipe mkono tupingiane.. ikibatilishwa unanipa nini πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…