Thank you rafiki,nakunywa Sana maji soda sipendelei kabisa nowdays au vinjwaji vingine
Mazoezi hapo ndo changamoto mudaa maana natoka alfajir kurudi machweo...kula nakula mchana tu SEMA may be nakula Sana Minyama(mazingira ya kazi nyama choma kwa Sana),usiku masontoja ya wale madogo pale home balaa
wali nazii!
Nadhani napaswa kupunguza kwa Sasa ili nibaki kwenye 70kgs