reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Pole
Pole
Ngoja nimalize kupika nije nikupe ripoti nkamu maana umepotea muda mrefu na matukio ni mengi mengi mengi...Jamani hadi nimeongezeka kilo. Ndaga nkamu. Nimerudi sasa nkamu
Inaonekana nzuri ila hao watu wake hivyo vibichwa vyao mbona vidunchu hivyo?Angalia m movies kuna kamove tu kazuri 😂
21:30 bado parefu kuangalia hao wakenya comedian wa mchongo
Miss you more bina akeBinamu...upooo?!!miss youu
Sante dearPole
Kina nkamu na ukarimu wetu. Nakusubiri hapa nkamuNgoja nimalize kupika nije nikupe ripoti nkamu maana umepotea muda mrefu na matukio ni mengi mengi mengi...
Mimeno hujaona? 🤣🤣Inaonekana nzuri ila hao watu wake hivyo vibichwa vyao mbona vidunchu hivyo?
Naelewa maunyama 🙌🙌 nikiwa mkubwa nitanunua 😅😅HahahaNimekuelewa, Hiyo nikiwekaga Portrait mode inafanya mambo sana.
Unaweza zoom Location hapo, hapa ukija kumwagilia moyo low budget inawekana
Unaingia ndani unanunua mambo yako unayopenda unakuja unakaa hapo nje, Huku ukienjoy ka mziki kwa mbali, Sauti ya fountain , Na kuna sungura watakua wanazunguka zunguka miguuni hapo, Ukienda na watoto ndio safi kabisa.
View attachment 2294499
Kafridge ni nonexistent!!!!🤗
Naelewa maunyamanikiwa mkubwa nitanunua
Location imetulia sana![]()
Hamna maunyama hapo, Location jitahidi 
Nimepamiss Simply Fresh 🥴🥴HahahaNimekuelewa, Hiyo nikiwekaga Portrait mode inafanya mambo sana.
Unaweza zoom Location hapo, hapa ukija kumwagilia moyo low budget inawekana
Unaingia ndani unanunua mambo yako unayopenda unakuja unakaa hapo nje, Huku ukienjoy ka mziki kwa mbali, Sauti ya fountain , Na kuna sungura watakua wanazunguka zunguka miguuni hapo, Ukienda na watoto ndio safi kabisa.
View attachment 2294499
Kafridge ni nonexistent!!!!![]()



Hakuna kitu kizuri kukisikia kama hiki wakati huu 

.Location nahisi kabisa haiko mkoa niliopo 😎Hamna maunyama hapo, Location jitahidi
![]()
Nimepamiss Simply Fresh![]()



Geneva of Africa 😇Hebu taja mkoa tuone![]()
Uendelee hivyo hivyo sasa 💪🏾💪🏾Hakuna kitu kizuri kukisikia kama hiki wakati huu
.