Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
It's such a shame but I'm leaving
Can't take the way you're mistreating me
And it's crazy, but oh baby don't matter, whatever Don't phase me
It's such a shame but I'm leaving
Mida yetu ya live madam usijali 😘Nibariki Nikuone walau siku itaisha vizuri!! kipenzi Jioni yangu ipo ipo tu leo!!💃💃😘!
Kwahizo nyulimbo nakuona Kabisa ushavurugwa mjomba !! Usiku huu Sijui kama utakucha salama 🤣🤣😉😉😁😁😁 Una mimbo Yako kama ya kina young lunya eeeh Ile mpelekee moto au muda wetuu muda wetuu ee
Muda wetu
Muda wetu wa kufanya kwenye gari
Aiyo woiyoo, aiyo woiyoo
Aiyo woyoo, aiyoo woyoo, woyoo weee
Kimbia mbele, rudi nyuma
We tikisa wezele (Yewe namaan!)
Kimbia mbele, rudi nyuma
We tikisa wezele (Yebo yey woza)
Jamanii!! Leo niko moodlesss nimevurugwaaaa nitarara saa 12 Jioni Walai!!Mida yetu ya live madam usijali 😘
Young lunya freestyle session 4 alijitahidi😁😁😁 Una mimbo Yako kama ya kina young lunya eeeh Ile mpelekee moto au muda wetuu muda wetuu ee
Muda wetu
Muda wetu wa kufanya kwenye gari
Aiyo woiyoo, aiyo woiyoo
Aiyo woyoo, aiyoo woyoo, woyoo weee
Kimbia mbele, rudi nyuma
We tikisa wezele (Yewe namaan!)
Kimbia mbele, rudi nyuma
We tikisa wezele (Yebo yey woza)
Unizoee tu auntyako napenda utani sana endeleen kuburudiika mm uzee tayar hapa
Kula hizi mbili za mwishooo 😁😁😁.. niwe nimewakilisha jfIt's such a shame but I'm leaving
Can't take the way you're mistreating me
And it's crazy, but oh baby don't matter, whatever Don't phase me
Daah napenda sana maandazi. Yakiiva tushtuaneMje tupike maandazi
Sina mpya hata madamJamanii!! Leo niko moodlesss nimevurugwaaaa nitarara saa 12 Jioni Walai!!
😄😄😄 Huwa nacheka tu nikisikiliza mistari ya Lunya kwangu namuona mkali Sanaa.. kwenye uwanja wake.. sema Raptcha tungo zake za akili ndio wanapo pishana hapoYoung lunya freestyle session 4 alijitahidi
Hii ya pili 🙌Kula hizi mbili za mwishooo 😁😁😁.. niwe nimewakilisha jf
View attachment 2293261
View attachment 2293262
Sizijui saaana ila hiyo Freestyle 4 alijitahid😄😄😄 Huwa nacheka tu nikisikiliza mistari ya Lunya kwangu namuona mkali Sanaa.. kwenye uwanja wake.. sema Raptcha tungo zake za akili ndio wanapo pishana hapo
Ni sawa aunt 😀😀Unizoee tu auntyako napenda utani sana endeleen kuburudiika mm uzee tayar hapa
Ngoja nikuachie na hizi za mwisho.. zinakaa masikioni mwangu hizi mda huu 😁😁😁Hii ya pili 🙌
Asante ngoja niendelee kuenjoy good music
🔥🔥🔥🔥 Muziki ni burdan sanaSizijui saaana ila hiyo Freestyle 4 alijitahid
😁😁😁😁😁 Nakutazama tu shangazi yangu.Kwahizo nyulimbo nakuona Kabisa ushavurugwa mjomba !! Usiku huu Sijui kama utakucha salama 🤣🤣😉😉
TayariDaah napenda sana maandazi. Yakiiva tushtuane
🚴🚵🚴🚴🚴🚵🚵🚵 Nitawahi kweli ?
Utawah aunt nipo mwenyew siwez maliza haya🚴🚵🚴🚴🚴🚵🚵🚵 Nitawahi kweli ?