Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,921 Hahahaha mkuu mimi siyo mayai mayai bana na siyo kwamba ndiyo itakuwa mara yangu ya kwanza kabisa maana nilishapitia jakata kwahiyo nina kamsasa kidogo Sanchez magoli said: Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli. Click to expand...
Hahahaha mkuu mimi siyo mayai mayai bana na siyo kwamba ndiyo itakuwa mara yangu ya kwanza kabisa maana nilishapitia jakata kwahiyo nina kamsasa kidogo Sanchez magoli said: Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli. Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,922 Karma said: Ushagoo iko wapi jamani?? Click to expand... Hahahahahaha Huelewiii tuu (kijijini)
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,923 mwee Saint anne said: Yaani mimi kutoka iwambi Hadi uyole tu Ni shughuli pevu. Aliyeniroga kwenye safari alishakufa. Naweza nikatoka hapa iwambi Hadi mwanjelwa narudi naumwa. Click to expand...
mwee Saint anne said: Yaani mimi kutoka iwambi Hadi uyole tu Ni shughuli pevu. Aliyeniroga kwenye safari alishakufa. Naweza nikatoka hapa iwambi Hadi mwanjelwa narudi naumwa. Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,924 Mshana Jr said: leo sijachomekea combat wala sijavaa Mocassin Click to expand... Nakuzoom tuu jamani
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,925 Mshana Jr said: Same like yesterday Click to expand... Nope
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,926 Swet-R said: Nije lini? Ni wapi huko?. Click to expand... Unataka ukuje lini eti jamani
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,927 Mimi naongelea wadada wa mashirika kama Emirates au Etihad huko,, huku bongo nako kuna ajira sasa?? Yaani air hostess bongo Watu8 said: Not real... Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k... Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri... Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM? Click to expand...
Mimi naongelea wadada wa mashirika kama Emirates au Etihad huko,, huku bongo nako kuna ajira sasa?? Yaani air hostess bongo Watu8 said: Not real... Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k... Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri... Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM? Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,928 Mshana Jr said: Pale unapojikuta ndio mlevi pekee tena asubuhi View attachment 1255369 Click to expand... Mlevi yuko kazini
Mshana Jr said: Pale unapojikuta ndio mlevi pekee tena asubuhi View attachment 1255369 Click to expand... Mlevi yuko kazini
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,929 Usijali kabisaa Saint anne said: Ukifanikiwa usinisahau na mimi Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Nov 6, 2019 #23,930 Sanchez magoli said: Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli. Click to expand... Hivi mazoezi Ni magumu eeh,,? Vipi kuhusu Askari wanaokuja huko kupata course ya muda wa miezi kadhaa..mazoezi Yao yapoje?
Sanchez magoli said: Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli. Click to expand... Hivi mazoezi Ni magumu eeh,,? Vipi kuhusu Askari wanaokuja huko kupata course ya muda wa miezi kadhaa..mazoezi Yao yapoje?
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,931 Ah wewe hiyo kazi haikufai kabisa aise,, sema hasara yake hauwi na familia.. Saint anne said: Kumbe. Nitaenda na Mimi kujaribu bahati Ila badala ya kuhudumia abiria nahisi wao watanihudumia Mimi Maana ntakuwa naugua tu humo angani Click to expand...
Ah wewe hiyo kazi haikufai kabisa aise,, sema hasara yake hauwi na familia.. Saint anne said: Kumbe. Nitaenda na Mimi kujaribu bahati Ila badala ya kuhudumia abiria nahisi wao watanihudumia Mimi Maana ntakuwa naugua tu humo angani Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,932 Ipi hiyoo?? Watu8 said: Hahaha...Soma post yangu mekuelezea... Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,933 Kwani ninyi hamkuyashika hayo?? Saint anne said: . Hivi Yana kilo ngapi hayo madude? Usikute Ni uzito wangu kabisa Click to expand...
Kwani ninyi hamkuyashika hayo?? Saint anne said: . Hivi Yana kilo ngapi hayo madude? Usikute Ni uzito wangu kabisa Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Nov 6, 2019 #23,934 Karma said: Ah wewe hiyo kazi haikufai kabisa aise,, sema hasara yake hauwi na familia.. Click to expand... Hakuna kuwa na familia !? Mpaka hapa nilishashindwa
Karma said: Ah wewe hiyo kazi haikufai kabisa aise,, sema hasara yake hauwi na familia.. Click to expand... Hakuna kuwa na familia !? Mpaka hapa nilishashindwa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Nov 6, 2019 #23,935 Mimi Kama nilienda kutalii tu Sikushika kwa kweli..mkono wangu mmoja ni mbovu Karma said: Kwani ninyi hamkuyashika hayo?? Click to expand...
Mimi Kama nilienda kutalii tu Sikushika kwa kweli..mkono wangu mmoja ni mbovu Karma said: Kwani ninyi hamkuyashika hayo?? Click to expand...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,177 Reaction score 831,951 Nov 6, 2019 Thread starter #23,936 Agiza saint anne nafanya mambo asap Sakayo said: Nakuzoom tuu jamani Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Nov 6, 2019 #23,937 Watu8 said: Not real... Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k... Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri... Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM? Click to expand... Eti vile vimama Kuna vigezo gani boss?
Watu8 said: Not real... Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k... Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri... Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM? Click to expand... Eti vile vimama Kuna vigezo gani boss?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,177 Reaction score 831,951 Nov 6, 2019 Thread starter #23,938 Sakayo said: Mlevi yuko kazini Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 6, 2019 #23,939 Oohh ni kilugha gani hicho?? Sakayo said: Hahahahahaha Huelewiii tuu (kijijini) Click to expand...
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,470 Nov 6, 2019 #23,940 Mshana Jr said: Agiza saint anne nafanya mambo asap Click to expand... Naagiza carton ya Mirinda nyeusi mimi jamani
Mshana Jr said: Agiza saint anne nafanya mambo asap Click to expand... Naagiza carton ya Mirinda nyeusi mimi jamani