Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli.
HahahahahahaUshagoo iko wapi jamani??
Yaani mimi kutoka iwambi Hadi uyole tu Ni shughuli pevu.
Aliyeniroga kwenye safari alishakufa.
Naweza nikatoka hapa iwambi Hadi mwanjelwa narudi naumwa.
Nakuzoom tuu jamani[emoji23][emoji23][emoji23]leo sijachomekea combat wala sijavaa Mocassin
NopeSame like yesterday
Unataka ukuje lini eti jamaniNije lini? Ni wapi huko?.
Not real...
Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k...
Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri...
Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM?
Mlevi yuko kaziniPale unapojikuta ndio mlevi pekee tena asubuhi [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1255369
Ukifanikiwa usinisahau na mimi
Hivi mazoezi Ni magumu eeh,,?Hahahaaa yani wewe ulivyo Mayai mayai utaweza galagala kwenye tope kweli.
Kumbe.
Nitaenda na Mimi kujaribu bahati[emoji1787]
Ila badala ya kuhudumia abiria nahisi wao watanihudumia Mimi Maana ntakuwa naugua tu humo angani[emoji23]
Hahaha...Soma post yangu mekuelezea...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hivi Yana kilo ngapi hayo madude?
Usikute Ni uzito wangu kabisa[emoji23][emoji23]
Hakuna kuwa na familia !?[emoji849][emoji849]Ah wewe hiyo kazi haikufai kabisa aise,, sema hasara yake hauwi na familia..
Kwani ninyi hamkuyashika hayo??
Eti vile vimama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Not real...
Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k...
Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri...
Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM?
Hahahahahaha
Huelewiii tuu (kijijini)
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Agiza saint anne nafanya mambo asap