Mchungaji nae akaamua kutoa ya moyoni kuhusu swala la kufunga ndoa huku mtu akiwa mjamzito
Anadai kwamba ndoa hiyo inafungwa si ya watu wawili bali watatu, hivyo ni sawa na mtoto kafunga ndoa na wazazi wake na ni laana inatengenezwa maana mtoto kaoa au kuolewa na baba na mama yake
Ila pia wanaweza kutubu ili laana kama hiyo isimpate mtoto
Nadhani vijana walio kuwa pale kuna kitu wamejifunza kupitia kauli ile
Mchungaji nae akaamua kutoa ya moyoni kuhusu swala la kufunga ndoa huku mtu akiwa mjamzito
Anadai kwamba ndoa hiyo inafungwa si ya watu wawili bali watatu, hivyo ni sawa na mtoto kafunga ndoa na wazazi wake na ni laana inatengenezwa maana mtoto kaoa au kuolewa na baba na mama yake
Ila pia wanaweza kutubu ili laana kama hiyo isimpate mtoto
Nadhani vijana walio kuwa pale kuna kitu wamejifunza kupitia kauli ile
Mchungaji nae akaamua kutoa ya moyoni kuhusu swala la kufunga ndoa huku mtu akiwa mjamzito
Anadai kwamba ndoa hiyo inafungwa si ya watu wawili bali watatu, hivyo ni sawa na mtoto kafunga ndoa na wazazi wake na ni laana inatengenezwa maana mtoto kaoa au kuolewa na baba na mama yake
Ila pia wanaweza kutubu ili laana kama hiyo isimpate mtoto
Nadhani vijana walio kuwa pale kuna kitu wamejifunza kupitia kauli ile