Selfika na JF: Snap it. Show it

Jaman itakua yuko emotional sana, all the best kwao.
I wish ningekua karibu na tv niangalie
Mchungaji nae akaamua kutoa ya moyoni kuhusu swala la kufunga ndoa huku mtu akiwa mjamzito
Anadai kwamba ndoa hiyo inafungwa si ya watu wawili bali watatu, hivyo ni sawa na mtoto kafunga ndoa na wazazi wake na ni laana inatengenezwa maana mtoto kaoa au kuolewa na baba na mama yake

Ila pia wanaweza kutubu ili laana kama hiyo isimpate mtoto

Nadhani vijana walio kuwa pale kuna kitu wamejifunza kupitia kauli ile
 
Kaongea ukweli mtupu
Nimependa alivyowaelewesha na kuwaombea!
 
Mmh mbona kama mchungaji hajafanya vzuri kuongea hayo maneno ni mazito sana na yanaumiza hasa kwa siku yao ya leo ambayo ni ya furaha.

Hayo angewaambia kipindi wameenda kuandikisha ndoa.

But anyway mambo ya imani ni mapana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…