Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Zitafika zikiwa zimepaukaMarahaba jirani...nitumie hizo chapati jirani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Zitafika zikiwa zimepaukaMarahaba jirani...nitumie hizo chapati jirani.
Umejifungia na naniHongera aisee
Ubarikiwe na haka kabaridi ka leo wengine tumejifungia ndani .

Mkono mkono na kwapa vinachoka hatariMbna unajua mama junia hongera

Mambo ya sweetpie 🤣🤣🤣😂😂😂!! Vijanaaa lugha zenu Jamani!!!!🤣🤣Bora hta angesema mamdo ningeelewa haraka 🤣
Je ne dors pas cette foisBonne nuite mon ami!!!!
Mwenyewe tu.Umejifungia na nani![]()
🤣🤣
Wewe hujaanza tabia mbayaKwa hiyo tuliopo ni akina nani ?![]()
Babe mambo
Je nes comprends pas🤣🤣!!!!Je ne dors pas cette fois
....Tupieni selfii basi!!!!!Mida ndio hiiiii
Hahaha aisee
Sawa SawA babe
Mimi nina Junia ana miaka mitano.