Kuna style wanatuingiziaga katikati ya game ili mradi tu watu-win, yaani ile umetulia unataka uteme anaruka,anakubusu,anabadilisha mfumo, nadhani lengo lao watuue kwa kukosa pumzi. Na sisi tunategea kifo cha mende, tunakaba shingo huku shughuli inaendelea kwa juhudi kubwa.... "mtoto kagoma kunywa uji" lakini at ze end anakua ameshiba.