Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muhuni katika harakati zangu nikapora suti sehemu, uchawi viatu.. 🤔
Nikapora na viatu, kisha mzee huyooo nikaenda kuupiga mpunga,
Wakashindwa tofautisha baina ya bwana harusi na mimi mzamiaji yupi ni muoaji 😂🤣

Chupuchupu nipewe mke ukumbini😂🤣
 
Screenshot_20220708-045915.jpg
 
Ingawa maisha ni mafupi, mtu anapaswa kuishi na kutenda kwa njia ambayo mafanikio yake yanamletea yeye na nchi yake jina zuri milele. Ikiwa hatatumia mafunzo yake kwa malengo yanayofaa, atakuwa adui kwake mwenyewe na kizuizi kwa wengine. Hakika atakuwa mgonjwa hali ya kuwa ni mzima na amekufa angali hai”.
 
Ingawa maisha ni mafupi, mtu anapaswa kuishi na kutenda kwa njia ambayo mafanikio yake yanamletea yeye na nchi yake jina zuri milele. Ikiwa hatatumia mafunzo yake kwa malengo yanayofaa, atakuwa adui kwake mwenyewe na kizuizi kwa wengine. Hakika atakuwa mgonjwa hali ya kuwa ni mzima na amekufa angali hai”.
Nachafua uzi wako, zikifika post 10 unishitue, tuanze kufuta ushahidi.

Na niko safarini mara paap bando limekata 😂
 
Long taim kiitambo mjini azania sec.. Smartphone bado.

Hii ilikuwa ni kwa msaada wa nokia n83 kama sikosei.
Nokia angekuwa mtu kila mwaka tungekuwa tunamsomea dua kwa yale mema marehemu aliyotutendea
Nokia angekuwa mtu kila mwaka tungekuwa tunamsomea dua kwa yale mema marehemu aliyotutendea
 
Back
Top Bottom