Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,220
Nilikua nakutafuta nikupe ubuyu mamy njoo kulee!!hayo yamenitoka tu babe. Hata cjui nimemuimbia nani.
Nilikua nakutafuta nikupe ubuyu mamy njoo kulee!!hayo yamenitoka tu babe. Hata cjui nimemuimbia nani.
Bhasi sawa Antonnia wewe lala mkuuNdio Eli!
Nakusubiri kitamboo 😘💃💃ebu njoo kule chimbo kwanza ma'am
Njoo pm dakika sifuri ubuyu utachacha mamaa🤣😉😉!!Siri gani tenaaaa
WeuweeeeAcha tu Madam
Oh la-la-la, mwenzenu nakuwa chizi
Mambo tunayopeana, tunayopeana
Ah, salala, kumbe mapenzi ndo' hivi
Oh, maana naona nampendelea sana
. Leo Mpk unatoa na mashairi kabisa.
. Kweli mambo cyo mabaya.Yani siamini kama ni Tinsley!!! Hahahaaa... Hakii mahaba niteketezee walai!!😘Weuweeee. Leo Mpk unatoa na mashairi kabisa.
. Kweli mambo cyo mabaya.
Hahaha , Eeh wimbo huo fire by ZuchuWeuweeee. Leo Mpk unatoa na mashairi kabisa.
. Kweli mambo cyo mabaya.


Miss you more sweetheart!! Sijakuona kitambo mimii!!
Majukumu majukumuuuPole na majukumu mamy ndio ukubwa huo!! 😘Majukumu majukumuuu
Joan kuna mtu anakutafuta kasema eti uende chobingo anakuhitaji!!

naomba umuanike hapa hapaAmejua kukukuna 🤣🤣🤣!! Safi sanaaaa mamy!!Hahaha , Eeh wimbo huo fire by Zuchu
Kiukweli nimeupenda
Huwa nipo expressive somehow
Kitambo nimefika mbona shooNjoo Kwa waziri Saivi shouga kuna ubuyu wakooo pambe sana!
Mahaba ndi ndi ndiYani siamini kama ni Tinsley!!! Hahahaaa... Hakii mahaba niteketezee walai!!![]()




🤣🤣🤣🤣🤣! Amenipa Salamu zako nikasema ngoja nikutafute nimleteee atakuja Soon;naomba umuanike hapa hapa
Ina jambo mwanangu😂hiyo shikamoo vepeee.