Wamenibishia humu,na baridi linaendelea hili. Nimechek news hapa....
Sasa check weather mpk huu mwezi uishe![emoji119][emoji119]
Njombe ndo shikamoo mpk barafu zinaanguka[emoji134][emoji119][emoji119]
Nyuzi 9 so far
,mafinga,mbeya ,Iringa zinapishana kidogo ila ni balaa,12,13,14.... ndo balaa
Arusha haiingii kwenye hayo maeneo halo juu!
Zamani hakukuwa na baridiNimeishi sana dar,sijawahi ona baridi Kali hivi!
Arusha nimeishi almost 4 yrs ,zamani kidogo,njiro hapo!
Still baridi LA kipindi hiko sio km LA sshv!
Baridi iko Njombe huko🙌🙌
Bado nabishaWamenibishia humu,na baridi linaendelea hili. Nimechek news hapa....
Sasa check weather mpk huu mwezi uishe!🙌🙌
Njombe ndo shikamoo mpk barafu zinaanguka🙆🙌🙌
Nyuzi 9 so far
,mafinga,mbeya ,Iringa zinapishana kidogo ila ni balaa,12,13,14.... ndo balaa
Arusha haiingii kwenye hayo maeneo halo juu!
NARUDIAKama ulikuwa mpenzi wa series kama tom clancy, strike back, seal team, hanna, na treadstone
Then this one is for you
ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2279097
Etii....!👂Pombe nimeacha mie 😅
Ofcoz haiwezi kuwa sawa kabisaBado nabisha
Huwezi linganisha Dar na Arusha
19/23 😂😂 weee
Na hapa leo tuko tunashangilia jua liliwaka
Baridi la Dithim ni la mchongo tu😅😅 ikifikaga saa nne jua hiloZamani hakukuwa na baridi
2019 lilkkuwepo
2020 ndio hapakuwa na baridi kabisa
Njombe weka kando,, Dar haiwezi kuwa na baridi la kufikia Arusha
Wewe usiseme acha wengine wasemeAh leo baridi lipo
Limenipiga aisee na hako kamvua
Hahaha acha niseme nimeteseka leoWewe usiseme acha wengine waseme
Pole rafiki yangu wa kishuaHahaha acha niseme nimeteseka leo
Kuvaa nguo nyepesi kumbe baridi hiyo
Hahaha acha niseme nimeteseka leo
Kuvaa nguo nyepesi kumbe baridi hiyo
NimechekaKimsingi leo jua liliwaka thoe lilikuwa ni la mchongo… j5/j4/j3 🙌🙌🙌, j5 ilikuwa 13.. ilikuwa balaa.. na la huku likikuingia tu mwilini, nimonia nje njeView attachment 2279437
View attachment 2279438
Ahsante sana Pau mtoto mzuri❤❤
Huyo kwa ngeliPole rafiki yangu wa kishua
Mtoto magari ya njano Wigelekelo 's voice[emoji3]
Aah we Leo nomaaaBaridi la Dithim ni la mchongo tu😅😅 ikifikaga saa nne jua hilo
ila leo limeweza
Nimeacha alcohol 😂Etii....!👂
Come again madam........
Pamoja na kuwa na juaOfcoz haiwezi kuwa sawa kabisa
Yaani nyie na jua limewaka🤔 bora yenu!
Sie Leo hata jua hakuna,na mvua juu🙌
Mbona hujamtag madam Heaven Sent mmeanza lini kugombana??