Selfika na JF: Snap it. Show it


Ah leo hatari .. nilikuwa nazurura hapo kariakoo hali ya hewa ilikuwa ubaridi na mvua mvua kidogo .

kwa kweli huu mwaka baridi lipo la kutosha tu .
Hiyo mikoa si poa aisee .
 
Nimeishi sana dar,sijawahi ona baridi Kali hivi!
Arusha nimeishi almost 4 yrs ,zamani kidogo,njiro hapo!
Still baridi LA kipindi hiko sio km LA sshv!
Baridi iko Njombe huko🙌🙌
Zamani hakukuwa na baridi
2019 lilkkuwepo
2020 ndio hapakuwa na baridi kabisa

Njombe weka kando,, Dar haiwezi kuwa na baridi la kufikia Arusha
 
Bado nabisha

Huwezi linganisha Dar na Arusha
19/23 😂😂 weee
Na hapa leo tuko tunashangilia jua liliwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…