ahaha! ikishindikana Polisi, nakuwa Polisi binafsi. Ukishakuwa na hivyo vitu kibondoni tayari ni askari. I wish siku moja niwe na company ambayo ndogo ila full of technology itayo deal na maswala ya usalama tu ( usalama cyber na physical ) .
ahaha! ikishindikana Polisi, nakuwa Polisi binafsi. Ukishakuwa na hivyo vitu kibondoni tayari ni askari. I wish siku moja niwe na company ambayo ndogo ila full of technology itayo deal na maswala ya usalama tu ( usalama cyber na physical ) .
Yes, hiko ndicho nachozungumzia, kampuni nyingi sana Africa zinakuwa hacked lakini hawasemi kama nchi zingine za nje.
Lakini suala la kuwa hacked ni daily, hio ni fursa kaka, niamini.
Mafanikio huja kwa kupenda kile ufanyacho.