wanawake wa humu kujikuta Beyonce hamjambo.. ila uzuri tushakubaliana na hali kwamba mie binafsi hakuna mwanamke nina muweza humu wala kummudu ππππ nyie ni dada zangu na mwabwana zenu ni mashemeji zangu
Hizo uzi za watu smart smart, sio mabeberu wa kazi gani.. Perfume huwa nazisikia tu kwa wana.. mie toka niumbwa sijawai tumia hiyo kama vile ambavyo pombe haijawai ingia kichwani.. alafu na mie wa maajabu eeh ππππ