Nitafanyaje best huyu kanipa libwata si bure huwa naapa simtaki tena ila akitaja jina tu Nuzuu yaani hasira kwishaa ngoja niende kwa Mwamposa akaniombee si bure kuna namna๐คจ๐
Hapo tu ndio aliponikosha mie na anajua kukuvumilia mjomba anakuvumilia na kukupenda sanaa!! Unampiga matukio sio ya nchi hii ila hakuachiii... Thats great โ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธ