Selfika na JF: Snap it. Show it

Mama malezi.

MK ameanza kuokoka, wokovu umemfikia ameanza kutoa neno.
Ila yule asipopata mtu wa counselling anaweza kujiua.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] kachanganyikiwa na kupagawa hadi huruma.
Weee lini hiyo tena? Mungu amsaidie jamani; itakuwa Yale mambo yake yanamchanganya
 
Niliyavagaa kwa mpopo m1 yule mbwa hata staki kumuonaa mie lol.
Mbna black Americans nawapenda mnoo mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wazungu bhana mnaendaa cafeteria, ukijua analipa yeye kumbe ujilipie mwenyewe, afu hakupi in4. Khaaaah.

Sitakiiiiiih.
 
Kuna mzozo mkubwa sana kwa wanasayansi hapo kwenye from nothing.....

Ni Biblia gani hii?
Amplified Bible
Mi hizi zilizotafsiriwa hasa kiswahili zinanipa shida
una kitu mara nyingi kina miss,SBB ya kukosa maneno wakati mwingine yenye maana na uzito

Sayansi haiwezi pata majibu hapa
Mambo ya rohoni haya
 
[emoji1787]
 
Ili mradi zilike sio [emoji16][emoji16] hizo nyingine ni mbwembwe japo zikiwa nyembamba huwa zinakaa sawa sana na ukute zimepikwa na fundi hajatia hata nyanya [emoji4][emoji4]
Mkuu. Kabeji ni kabeji tu...Hata uifanye vipi ni kabeji tu.

Acha mi nikaangize bana. Nyie mnaokatiwa na mashine shauri yenu [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…