Wa kwetu ndiyo...
Wa huku walishanishinda mjukuu.
Huwa napiga tu na kusepa. Ujichanganye kwa Black American we. Mbona hakuna rangi ambayo utaacha ona
Kuna kisa cha kula kimasikhara nakimalizia nitakutag kule kwenye uzi wao
Naona hii wine inataka kunizidia