Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,864
Napenda mtu km wewe..Isivyo bahati nakutana na wavivuHahahaaa.. kweli Satoh!
Napenda mtu km wewe..Isivyo bahati nakutana na wavivuHahahaaa.. kweli Satoh!
Nawewe unavyompa kavu hadharani unazidi kumshusha ..😂😂Ujue me sipendi anavyojishusha bana
Inakuwaje Hadi kwenye maandishi anakuwa mnyonge?
Aiyeeeeee toto la kibantuRumaiya sweetheart !!
Umekuwa km biashara United kwenye ligi ya shirikisho AfricaHuo mzigo mm siuwezi Kaka nisije aibika humu JF

Akajitoa kwenye mashindano Kwa sababu hakuwa na pesa za kugharamia safari kimataifaHahaha... si unanibadilisha afanye unavyopenda wewe jamani!!Napenda mtu km wewe..Isivyo bahati nakutana na wavivu
Huu mzigo nikivua boksa tu wazungu haoRumaiya sweetheart !!
Mweh chaka tu hilo!Huu mzigo nikivua boksa tu wazungu hao
Aiseeee.....😍😍Rumaiya sweetheart !!
Ngoja niache isije kuonekana namuattackNawewe unavyompa kavu hadharani unazidi kumshusha ..![]()
.Ila dunia aihitaji watu dhaifu na waoga.Only the strongest Men ndy wanasurviveUmekuwa km biashara United kwenye ligi ya shirikisho AfricaAkajitoa kwenye mashindano Kwa sababu hakuwa na pesa za kugharamia safari kimataifa




mm mashindano yangu ya ndondo tu huko caf hapa labda cuf ya lipumbaShida hawafunguki, sasa si tutanusa?😂Watu humu ni moto, nyie mnawabania sasa ndio shida 😄😄😄
Habib mwenzio wazungu wamenitoka hapa
Hamuwajibu PM zao,Shida hawafunguki, sasa si tutanusa?😂
Sawa ankolimm mashindano yangu ya ndondo tu huko caf hapa labda cuf ya lipumba

ngoja niache kukupush..Polee GHabib mwenzio wazungu wamenitoka hapa
Unaona pisi inakula baga chakufia nn mie
Naruhusiwa kuja kutoa mahali mrembo??
😂😂😂😂Ila wajua wanichekesha sanaUnaona pisi inakula baga chakufia nn mie